Bunge la Iraq limeahirisha kikao kupiga kura kuhusu baraza la mawaziri lililopendekezwa na waziri mkuu mteule Bw. Mohammed Tawfiq Allawi kutokana na ukosefu wa idadi ya kutosha ya wabunge uliotokana na migongano ya kisiasa. Kituo cha televisheni cha taifa cha Iraq Iraqiya kimesema, bunge hilo limeamua kuahirisha kikao cha kutoa uaminifu kwa serikali ya Allawi hadi jumatatu ijayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |