Mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki na Uingereza wamejadili operesheni ya kijeshi ya Uturuki inayoendelea mkoani Idlib, Syria na wimbi la wakimbizi wanaoingia Ulaya. Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza Bw. Dominic Raab ambaye yuko ziarani nchini Uturuki na mwezake wa Uturuki Bw. Mevlut Cavusoglu, wameihimiza Ugiriki na nchi nyingine za Umoja wa Ulaya kuheshimu sheria za kimataifa katika kuwashughulia wakimbizi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |