• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tathimi ndogo yaathiri ukusanyaji katika sekta ya madini Uganda

    (GMT+08:00) 2020-03-05 20:12:50

    Ripoti ya Mhasibu Mkuu wa serikali nchini Uganda imesema kuwa tathmini ndogo ya malipo ya mirahaba katika sekta ndogo ya madini imesababisha ukosefu wa mapato.

    Kulingana na Ripoti ya Mhasibu Mkuu wa Serikali ya mwaka 2018/19,Wizara ya Nishati na Madini ilikusanya Shs10.5b katika mirahaba ya madini.

    Hakiki za Mamlaka ya Mapato ya Uganda zinaonyesha kuwa sekta ndogo ya madini naweza kuzalisha zaidi ya Shs70.2b katika kiwango cha asilimia 5 haswa kutoka dhahabu,tantalum na tungsten.

    Mashirika ya kijamii yameitaka serikali kuchukua hatua zinazohitajika ili kuziba pengo hilo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako