Ofisa nyuki wa mkoa wa Mbeya Marietha Kareti amesema kila mara mofisa nyuki hulazimika kufanya msako kwenye mitaa kubaini wafanyabiashara ambao wamekuwa wakiuza bidhaa ya asali bila vifunganisho bora.
Amesema vifunganisho bora vitsaidia sio tu soko kuimaeisha soko la ndani lakini pia na la kikanda.
Kereti amesema vifunganisho visivyokidhi ubora vimekuwa vikipunguza mahitaji ya bidhaa hiyo kwani wateja wengi wanahofia mazingiraa ya asali katika soko.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |