Waziri mkuu wa Sudan Bw. Abdalla Hamdok amesema, Marekani ni mwenzi wa kimkakati anayeshirikiana na Sudan kutatua changamoto mbalimbali. Amesema hayo kwenye mkutano na msaidizi wa waziri wa fedha wa Marekani anayeshughulikia ufadhili wa ugaidi Bw. Marshall Billingslea. Wizara hiyo imesema kuiondoa Sudan kutoka kwenye orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi ni "suala la muda" tu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |