• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Korea Kaskazini yarusha makombora matatu katika Bahari ya Mashariki

    (GMT+08:00) 2020-03-09 10:27:05

    Korea Kaskazini imerusha makombora matatu yasiyojulikana kwenye bahari ya mashariki, wiki moja baada ya kurusha makombora mawili ya masafa mafupi katika bahari hiyo. Baraza la wanadhimu wakuu la jeshi la Korea Kusini limetoa taarifa fupi ikisema, makombora yalirushwa upande wa kaskazini mashariki kutoka maeneo yaliyoko karibu wilaya ya Sondok mkoani Hamgyong Kusini.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako