Tanzania imekuwa chini ya sifa kutoka kwa Mfuko wa Fedha Duniani IMF kwa kile wakopeshaji wa kimataifa wanaita "mageuzi ya kisheria ya kuaminika" katika sekta yake ya madini, ardhi na mikopo midogo kwa wafanyibishra wadogo
Timu ya IMF ilibaini kuwa sera za tahadhari za kifedha na fedha ambazo nchi imetengeneza hivi karibuni zimezaa matunda ya utulivu wa uchumi.
Mabadiliko haya yameona mchango wa madini kwa Pato la Taifa kuongezeka kwa asilimia tano, kutoka asilimia 4.8 mwaka uliopita.
Mfumko wa bei wa kila mwaka uliyokuwa chini ya asilimia nne kwa karibu miezi 12, kiwango cha ubadilishaji thabiti na ukusanyaji bora wa ushuru kwa karibu asilimia 96 .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |