Watu zaidi ya 43 wameuawa katika mashambulizi yaliyotokea kaskazini mwa Burkina Faso. Taarifa iliyotolewa na serikali ya nchi hiyo imesema watu wasiojulikana walifanya shambulizi jumapili iliyopita dhidi ya vijiji viwili katika kanda ya kaskazini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |