• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya yapokea magari 10 kutoka UM kwa ajili ya kukabiliana na tishio la nzige

    (GMT+08:00) 2020-03-11 10:32:19

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa FAO limekabidhi magari kumi kwa Kenya ili kuisaidia kunyunyiza dawa za kuulia nzige wa jangwani.

    Waziri wa kilimo wa Kenya Bw. Peter Munya amesema, magari hayo yatapelekwa katika maeneo yaliyoathiriwa vibaya zaidi na nzige wa jangwani ambao wamevamia nchi kadhaa za Afrika Mashariki.

    Pia amesema timu ya tathmini itakwenda huko kukagua kiwango cha uharibifu, na kuziwezesha familia zilizoathirika kupewa msaada ili kuwarejesha katika maisha ya kawaida.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako