Meya wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaam, nchini Tanzania Omary Kumbilamoto, amevipongeza vikundi vya Jogging kata ya Vingunguti kwa namna wanavyojitoa katika kushirikiana na jamii ili kutatua kero zinazoikabili kata hiyo. Meya Kumbilamoto amesema hayo wakati akikabidhi msaada wa mahitaji muhimu kwa kituo cha watoto yatima Mwana kilichopo Vingunguti.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |