Mamlaka ya usafiri wa anga Sudan imepiga marufuku safari za ndege za moja kwa moja za Tume ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika huko Darfur UNAMID kutoka Misri hadi viwanja vitatu vya ndege huko Darfur. Msemaji wa Mamlaka hiyo amesema, marufuku hiyo itadumu hadi mwezi wa Aprili, na kuongeza kuwa marufuku hiyo inaweza kurefushwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |