• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Sudan Kusini yapendekeza mawaziri 35 katika serikali ya mpito

    (GMT+08:00) 2020-03-13 10:07:14

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amependekeza mawaziri 35 katika baraza la mawaziri la serikali ya mpito baada ya uundaji wa baraza hilo kucheleweshwa kutokana na migongano na kundi kuu la upinzani la SPLM-IO. Kwa mujibu wa makubaliano ya amani yaliyofikiwa mwaka 2018 nchini Ethiopia, upande wa serikali umependekeza 20 kati ya nafasi 35 za ngazi ya mawaziri, kundi la SPLM-IM limepata nafasi 9, huku vyama vingine vikipata nafasi zilizobaki.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako