Emirates lilitoa taarifa ikionyesha kwamba ni ndege za Jumatatu na Jumatano tu zitakazoathrika kuanzia Machi 18 hadi Aprili 29.
Meneja mauzo wa Emirates nchini Uganda Bi Sarina Carrasco, amethibitisha kufutwa kwa safari hizo lakini hakutoa maelezo zaidi.
Alisema taarifa ya kufutwa kwa safari hizo ilitolewa na ofisi kuu ya Emirates na kwamba taarifa ya kina itatolewa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |