Wizara ya Afya nchini Ethiopia leo imethibitisha kesi ya kwanza ya virusi vya korona (COVID-19). Ripoti hiyo imetolewa mjini Addis Ababa, baada ya vipimo vilivyochukuliwa kutoka kwa raia mmoja wa Japan kuonyesha amepata maambukizi ya virusi hivyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |