Rais Abdel-Fattah al-Sisi wa Misri jana alifanya mazungumzo na naibu mwenyekiti wa Baraza la utawala la Sudan Bw. Mohamed Hamdan Dagalo kuhusu Bwawa la GERD la Ethiopia lililojengwa kwenye mto Nile. Msemaji wa rais wa Misri Bw. Bassam Rady amesema, mkutano huo ulijadili maendeleo ya suala la GERD kufuatia makubaliano yaliyofikiwa kwenye mazungumzo ya pande tatu huko Washington lakini yalisainiwa na upande mmoja wa Misri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |