Akizungumza kwenye kongamano la Biashara na uwekezaji la Afrika Mashariki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Bi Kairuki amabaye alikuwa amemwakilisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, aliwahakikishia wawekezaji hao kwamba serikali imeweka mikakati imara ya kuwawezesha kuwekeza Tanzania.
Hafla hiyo ilihudhuriwa na wafanyibiashara na wawekezaji kutoka Sweden. Sekta ya Utalii ni mojawapo yenye fursa nyingi nchini Tanzania kwa wawekezaji wa kigeni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |