Shirika hilo limesema kwamba ni safari za Jumatatu na Jumatano pekee ambazo zimesitishwa kuanzia Machi 18 hadi Aprili 29 mwaka huu.
Huku Uganda Uganda ikiwa haijaripoti kisa chochote cha uwepo wa virusi vya Corona, Dubai imeathiriwa.
Hatua hii huenda ikaathiri Uganda kwa sababu Waganda wengi wanafanya kazi Dubai. Kando na hilo, Uganda pia hununua baadhi ya bidhaa zake kutoka Dubai, na hatua hii itakuw na athari fulani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |