• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Fedha kutoka nje ya tarajiwa kushuka chini sana kufuatia hofu ya corona

    (GMT+08:00) 2020-03-17 19:17:50
    Utumwaji wa fedha kutoka nchi za nje kuja Kenya yatarajiwa kushuka chini kabisa kutokana na amri ya kuto toka nje na kujishgulisha na shughuliza za kila Ulaya kutokana na coronavirus.

    Fedha kutoka nchi za nje ilifikia sh bilioni 280 mwaka jana.

    Hivi majuzi fedha kutoka nje imekuwa mchangio mkubwa kwa akiba ya fedha za kigeni, ambayo Benki Kuu ya Kenya (CBK) hutumia kuleta utulivu wa sarafu.

    Pamoja na kuongezeka kwa kutokuwa na uhakika katika masoko ya kimataifa, CBK imeonyesha kwamba ilikuwa ikitaka kununua Sh bilioni 40.5 kutoka kwa benki katika miezi nne ijayo ili kuongeza akiba ya dola zake ambazo zilikuwa Sh bilioni 8.4 Machi 13.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako