Mkurugenzi mkuu wa afya wa Ufaransa Bw. Jerome Salomon ametangaza kuwa nchi hiyo imegundua wagonjwa 7,703 wa COVID-19 na 175 kati yao wamefariki kutokana na virusi hivyo. Katika saa 24 zilizopita, watu 1,097 wametambuliwa kuambukizwa na COVID-19, huku wengine 27 wametangazwa kufariki kutokana na ugonjwa huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |