Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Tanzania TMA imetoa tahadhari juu ya mvua kubwa zitakazonyesha katika mikoa tisa ikiwemo Rukwa, Mbeya, Songwe, Njombe, Iringa, Morogoro, Ruvuma, Mtwara na Lindi nchini humo. Mamlaka hiyo pia imesema mvua zinatarajiwa kuvunja miundo mbinu na mali katika baadhi ya sehemu, na kwamba nyumba na mashamba kadhaa yanaweza kusombwa na mafuriko.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |