Airtel imetangaza kuwa kuanzia Jumanne, huduma ya kutuma pesa itafanyika bila malipo kwa siku 90 huku nchini hiyo ikipambana na virusi vya korona.
Aidha kampuni nyingine ya Safaricon imeondoa ad azote kwa uhamishaji wa fedha usiozidi dola 10, sawa na shilingi 1000 za Kenya.
Kampuni ya Airtel pia imeongeza kiwango cha fedha ambacho wateja wanaweza kuweka kwenye laini zao kutoka dola 700 hado dola 1,500 kwa siku.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |