Rais Xi Jinping wa China ameongoza mkutano wa kutathmini kazi ya kudhibiti na kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa COVID-19 na maendeleo ya uchumi ndani na nje ya nchi.
Mkutano huo pia umefanya mpangilio wa kazi kubwa za kuratibu kazi ya kuzuia na kudhibiti mlipuko kwa maendeleo ya uchumi na jamii.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |