Alitoa agizo hilo jana jijini Dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC, uliokuwa unafanyika kwa njia ya video ukiwajumuisha Mawaziri wa Fedha na Mipango, Viwanda na Biashara, Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Aidha, alisema katika miaka 40 tangu kuanzishwa kwa SADC mafanikio mbalimbali yamepatikana kama miradi mbalimbali ya miundombinu imeendelea kutekelezwa na kuiwekea kipaumbele sekta ya viwanda ambayo ni nguzo ya msingi katika kusaidia kukua kwa uchumi wa kanda na wa kila mwanachama.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |