• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yafanya mkutano wa kutoa uzoefu wake kuhusu kinga na kiba ya COVID-19

    (GMT+08:00) 2020-03-20 09:38:01

    Mkutano wa kutoa uzoefu wa China juu ya kinga na tiba ya nimonia ya COVID-19 ulifanyika jana na kutangazwa kwa dunia nzima kupitia mtandao wa internet.

    Mkutano huo umeshirikisha wataalamu wa China na wa nchi za nje, waliojadili njia za kupambana na virusi vya korona, na kueleza uzoefu wa China kuhusu kinga na tiba ya virusi hivyo. Kwa sasa maambukizi ya virusi nchini China yamedhibitiwa, lakini ugonjwa huo umelipuka na kuenea kwa kasi katika nchi nyingi duniani. Wataalamu wa China wametoa ufumbuzi na hatua mpya za China kuhusu kinga na tiba ya COVID-19.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako