Hivi karibuni rais Xi Jinping wa China kwa niaba ya serikali na watu wa China ametoa salamu za pole kwa viongozi wa Ufaransa, Ujerumani, Hispania na Serbia kutokana na maambukizi ya virusi vya Corona.
Katika salamu hizo za pole, rais Xi amesema China inaunga mkono kithabiti juhudi na hatua za nchi hizo katika kupambana na ugonjwa huo, kupenda kubadilishana nao uzoefu na mipango ya matibabu, na kutoa msaada na uungaji mkono kadiri iwezekanavyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |