Rais Mokgweetsi Masisi wa Botswana amejiweka kwenye karantini kwa muda wa siku 14 tangu Machi 21 baada ya ziara yake nchini Namibia. Ikulu ya Botswana imetoa taarifa ikisema, katika kipindi cha karantini, rais Masisi atafanyiwa upimaji wa virusi vya corona, na ataendelea na kazi akiwa nyumbani kwake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |