Rais Xi Jinping wa China amesisitiza kuwa, wakati China ilipokuwa inapitia kipindi kigumu katika mapambano dhidi ya virusi vya corona, ilipokea misaada na uungaji mkono kutoka nchi mbalimbali duniani, na China itakumbuka na kuthamini urafiki huo daima.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |