Msemaji wa serikali ya Ugiriki Bw. Stelios Petsas ameishukuru China kwa msaada iliotoa kwa nchi hiyo katika mapambano yanayoendelea dhidi ya virusi vya Corona. Ugiriki imeripoti vifo 22 kutokana na virusi hivyo na wagonjwa 821 waliothibitishwa kuambukizwa, ambao 134 kati yao wamelazwa wakiwemo wagonjwa 53 mahututi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |