Tawi la Benki ya China nchini Uturuki limetoa vifaa vya matibabu kwa Uturuki, ili kuisaidia nchi hiyo kupambana na mlipuko wa virusi vya Corona. Shehena ya mzigo huo ni pamoja na maski elfu ishirini za ngazi ya upasuaji, nguo elfu moja za kujikinga, jozi elfu moja za glavu za matumizi ya matibabu na miwani 200 imepelekwa kwa idara ya afya ya Istanbul.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |