Rais Donald Trump wa Marekani amesema kwenye mkutano na waandishi wa habari kuwa, kama idadi ya vifo kutokana na virusi vya Corona itadhibitiwa ndani ya watu laki 1, itaonyesha kuwa kazi ya serikali si mbaya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |