Akizungumza jijini Dar es Salaam wikendi iliyopita, naibu Waziri wa Uvuvi na Mifugo, Abdalla Ulega, amesema kuwa msimamo wa serikali upo pale pale haujazuia biashara yoyote, ikiwemo minada ya samaki na nyama na walioanza kufungia minada hiyo kuacha mara moja.
Kauli ya Ulega imekuja kwa kile alichoeleza kuwa tayari kuna taarifa za masoko ya minada kufungwa katika mikoa mbalimbali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |