Kwa mujibu wa taarifa hiyo, taasisi zote za kifedha nchini humo zitafunguliwa kuanzia saa tatu za asubuhi na kufungwa saa tiza alasiri. Hakuna benki itaruhusiwa kufanya kazi wikendi.
Awali, baadhi ya benki zilikuwa zikifunguliwa saa mbili za asubuhi na kufungwa saa moja za jioni, na vile vile kufunguliwa wikendi. Hatua hii ni mojawapo ya mikakati ya kuzuia maambukiziya virusi vya korona.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |