• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Nchi nyingi duniani zanunua mashine za kusaidia kupumua kutoka China

    (GMT+08:00) 2020-03-30 19:47:32

    Nchi nyingi duniani zinanunua mashine za kusaidia kupumua zinazotengenezwa nchini China, ambayo inaongoza duniani kwa utengenezaji wa mashine hizo.

    Hata hivyo, ingawa viwanda vya China vimejitahidi kutengeneza mashine nyingi za kusaidia kupumua, lakini haviwezi kukidhi mahitaji ya nchi za nje. Baadhi ya viwanda vikubwa vya China vinaweza kukamilisha utengenezaji wa bidhaa zao mwezi Juni au Julai mwaka huu, na viwanda vidogo vya China pia vikikumbwa na shinikizo kubwa la kutengeneza mashine hizo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako