Takwimu kutoka chuo kikuu cha Johns Hopkins zinaonyesha kuwa, idadi ya watu walioambukizwa virusi vya Corona nchini Marekani imezidi laki 1.6, na kuifanya Marekani kuwa nchi yenye idadi kubwa zaidi ya maambukizi hayo kote duniani.
Takwimu hizo pia zinaonyesha kuwa, idadi ya jumla ya maambukizi kote duniani imefikia 777,286, na idadi ya vifo kutokana na virusi hiyo imefikia 37,140.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |