Hotuba muhimu ya rais Xi Jinping, ambaye pia ni katibu mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, kuhusu kazi ya kuzuia na kudhibiti COVID-19 katika mkoa wa Hubei itachapishwa Jumatano katika Jarida la Qiushi.
Rais Xi, alitoa hotuba hiyo wakati wa ziara yake ya ukaguzi katika mkoa wa Hubei iliyofanyika tarehe 10 mwezi huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |