• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Bei ya wakulima wa maziwa ya ongezwa hadi sh36 kwa lita

    (GMT+08:00) 2020-03-31 19:04:35
    katika harakati ya kusaidia wakulima wa mifugo ya maziwa dhidi ya athari za kiuchumi za virusi vya korona, kiwanda kinachoongoza cha kusindika maziwa wasindikaji imeongeza bei za wazalishaji.

    Brookside Jumatatu yailitangaza kulipa gharama ya ziada kwa kila lita moja ya maziwa kuanzia jumatano.

    Ongezeko hilo litaona masindikaji akilipa wazalishaji maziwa sh36 kwa lita, wakati huu biashara zinztafuta njia zote za kutengeneza mapato.

    Mkurugenzi wa kiwanda cha Maziwa cha Brookside, John Gethi katika taarifa yake amesema kuongeza bei ya maziwa kwa mlango haitaongeza tu biashara ya kilimo ya maziwa lakini pia kusaidia kupunguza athari mbaya za kifedha wakati huu wa janga la corona ambayo pia inaathiri jamii ya wafungaji maziwa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako