Mvua kubwa katika miezi nane iliyopita ilisababisha mafuriko, na kuharibu mazao nchini humo.
Ripoti kuhusu kujitosheleza na chakula iliyotolewa mwezi uliopita na Mtandao wa Mfumo wa Onyo la Mapema iulionyesha kuwa angalau kaunti 17 zitakubwa na upungufu wa chakula kati ya mwezi Februari na Mei.
Waziri wa Kilimo Peter Munya alisema serikali itanunua magunia milioni mbili ya mahindi meupe kwa matumizi ya binadamu na magunia mengine milioni mbili ya mahindi ya manjano kusindika kama lishe ya wanyama.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |