• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Saudi Arabia yazitaka nchi zinazozalisha mafuta kufanya mkutano wa dharura ili kutuliza soko la mafuta

    (GMT+08:00) 2020-04-03 09:10:29

    Saudi Arabia imetoa mwito kwa jumuiya ya nchi zinazozalisha mafuta OPEC na nchi zinazozalisha mafuta zisizo za OPEC zinazoongozwa na Russia kufanya mkutano wa dharura, na kutarajia kufikia makubaliano ya haki ili kutuliza soko la mafuta. Makundi hayo mawili yalishindwa kufikia makubaliano mwanzoni mwa mwezi Machi kuhusu kupunguza uzalishaji mafuta, baada ya hapo Saudi Arabia ilitangaza kuongeza uzalishaji na kushusha bei ya mafuta. Katika mwezi uliopita, bei ya mafuta ilishuka kwa kiasia kikubwa katika soko la kimataifa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako