Wakizungumza na radio China kimataifa, walisema kuwa wateja wao zaidi ni wafanyakazi wa hoteli za kitalii na hatua ya kufungwa kwa hoteli hizo kutokana na corona kumewafanya kukosa wateja.
Hali ngumu ya biashara haipo kwa wafanyabiashara wa boda boda pekee, madereva wa taksi wanalalamikia ugumu wa biashara kutokana na corona hali ambayo imesababisha wateja kukosekana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |