Maduka makubwa ya Choppies kutoka Botswana yamefunga matawi yake yote nchini Kenya na Tanzania kutokana na ushindani mkubwa.
Usimamizi wa maduka ya Choppies umesema pia umefunga maduka yake nchini Msubiji na biashara zake nchini Afrika Kusini zitauzwa kwa mnanda.
Hata hivyo Choppies itaendelea na opareshen zake ndani ya Botswana
Pia maduka hayo yamewekeza dola milioni 12 na kupanga upya usimamizi wake ili kurejesha hali ya kawaida ya biashara.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |