Mgodi wa madini ya dhahabu wa Geita umelipa shilingi bilioni 5.01 kwa mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii nchini Tanzania (NSSF mwezi Februari, 2020 ikiwa ni mchango wa mwezi Januari 2020 kwa wafanyakazi 2,038.
Aidha, katika mwezi huo, wanachama 6,128 ambao wameajiriwa na makandarasi 39 wanaotoa huduma ndani ya mgodi huo walikuwa wameandikishwa na NSSF na kuchangiwa wastani wa Sh. bilioni 1.3.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |