Shrika hilo litasafiri Brussels (Ubelgiji),London (Uingereza) ,na Guangzhou (China).
Miji ya Brussels na London inalengwa kusaidia usafirishaji bara Ulaya na Guangzhou iatasaidia upatikanaji wa vifaa vya matibabu na bidhaa nyengine muhimu nchini Rwanda.
Afisa Mkuu Mtendaji wa RwandAir Yvonne Makolo,alisema ndege hizo zitawawezesha wazalishaji wa ndani kufikia masoko ya kimataifa na pia uagizaji wa bidhaa muhimu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |