Uchumi ukiendlea kusikia athari za ugonjwa wa corona, kuna hofu kwamba shule nyingine za kibinafsi zinaweza tolewa kwa biashara kutokana na kupoteza chanzo kikuu cha mapato karo.
Shule za kibinafsi kama vile Braeburn, Aga Khan, Banda, Cavina, wamefikia makubaliano na wazazi kutoza ada ya kufundisha wanafunzi mtandaoni.
Hii itaongeza mtiririko wa fedha zao na kuwezesha kulipwa mishahara kwa walimu na wafanyikazi wasio wafundishaji, na ulipaji wa mikopo kwa wawekezaji ambao wamechukua mkopo wa benki ili kujenga au kupanua shule zao.
Shule za kibinafsi zimeonya uwezekano wa shida ya kifedha na waalimu wao na wafanyikazi kusimamishwa kazi kama janga la corona ulimwengu litaendelea zaidi ya Aprili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |