Sekretarieti ya Jumuiya ya Madola imesema mkutano huo wa kilele ulipangiwa kufanyika kuanzia Juni 22-27.
Mkutano huo ulitarajiwa kuhudhuriwa na wakuu wa nchi 52, pamoja na Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson na mwakilishi wa Malkia, Prince Charles.
Rwanda pia ikiwa nchi mwenyeji ilitarajia kusaini mikataba ya biashara ya zaidi ya dola milioni 700 wakati wa mkutano huo.
Hoteli pia zilitarajiwa kufaidika na zilikuwa zimetenga angalau vyumba 8,000 vya wajumbe.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |