• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Misri: Benki ya Kimataifa ya Biashara (CIB), yawekeza Afrika mashariki

    (GMT+08:00) 2020-05-06 19:51:15

    Benki ya Kimataifa ya Biashara (CIB), ambayo ndio kubwa ya kibinafsi nchini Misri, inalenga ununuzi zaidi Afrika Mashariki.

    Tayari beki hiyo imenunua ile ya Mayfair MBL ya Kenya kwa kuwekeza dola milioni 34.

    CIB imeorodheshwa kwenye soko la hisa la Misri na London, na ina mali za zaidi ya dola bilioni 24.

    MBL, ilipewa leseni Juni 2017, na imeorodheshwa kama na benki kuu ya Kenya kama benki ndogo na yenye mgao wa soko wa asilimia 0.17.

    Nayo benki ya CIB ya misri huzingatia watu binafsi, wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs), taasisi na mashirika.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako