• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Uganda yapata Shs1.9 trilion (U$491.5m)kutoka IMF kupambana na Corona

    (GMT+08:00) 2020-05-07 19:47:19

    Bodi ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) jana iliidhinisha mkopo wa US$491.5 milion (takriban Shs1.9 trilioni), kuisaidia Uganda kushughulikia athari za kiuchumi zitokanazo na janga la Corona.

    Naibu Mkurugenzi wa IMF ,Bw Tao Zhang, alisema janga hili la Corona linatarajiwa kuathiri uchumi wa Uganda kupitia sehemu mbalimbali.

    Alisema Mamlaka za Uganda zimehakikisha na kujitolea kutumia fedha hizo kwa uwazi na wataimarisha uwajibikaji na uwazi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako