Watengenezaji sasa wanasema hali ya kazi inabaki kuwa mbaya na serikali inachukua muda mrefu kuunda mikakati ya kulinda mazingira ya biashara yaliyovurugika.
Uuzaji wa rejareja, kilimo, vinywaji na sekta ya nguo huunda idadi kubwa ya ajira na huchangia hadi asilimia 60 ya sekta ya utengenezaji ya Pato la Taifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |