Wizara ya fedha inakagua maombi hayo ambayo yatawezesha shirika hilo kutengeneza ndege zilizoharibika, malipo ya mishahara ya wafanyikazi na malipo ya bili za matumizi kama usalama, maji, umeme na ada ya maegesho.
Ndege kubwa hulipa ada ya ya maegesho ya dola 25 kila siku kuegesha katika viwanja vya ndege kama Jomo Kenyatta dola 585 kutua mchana na dola 702 kutua usiku.
Mbali na ruzuku hiyo shirika hilo pia linaomba misaada mingine kama msamaha wa ushuru na ada za kutua na maegesho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |