Rais Xi Jinping wa China amehudhuria mjadala wa wajumbe wa sekta ya uchumi wanaoshiriki kwenye mkutano wa mwaka wa baraza la mashauriano ya kisiasa, huku akibadilishana maoni nao.
Xi alisema serikali ina imani na uhakika wa kutimiza ahadi ya kuondoa kabisa umaskini ndani ya mwaka huu, na ni lazima tuasaidie ndugu zetu wa wakulima. Ameongeza kuwa makampuni binafsi ya China yanaendelea kwa haraka, hali ambayo inatokana na ushupavu mkubwa wa kukabiliana na changamoto mbalimbali ili kusonga mbele zaidi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |