Rais Xi Jinping wa China amesisitiza malengo na majukumu ya kuimarisha ulinzi wa taifa na nguvu za kijeshi mwaka huu, wakati ikidumisha kudhibiti kwa ufanisi maambukizi katika hali ya kawaida.
Rais Xi amesema hayo alipohudhuria kikao cha ujumbe wa jeshi la ukombozi la China na kikosi cha polisi cha Mkutano wa tatu wa Bunge la 13 la Umma la China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |